Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza wakati alipozindua Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi kwenye ukumbi wa Msekwa , bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea bango lenye anwani na Postikodi ya makazi yake ya Dodoma baada ya kuzindua Miongozo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi kwenye ukumbi wa Msekwa , bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha nakakala ya kitabu cha Miongozo ya ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi baada ya kuuzindua kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni mjini Dodoma Septemba 14, 2016.
EmoticonEmoticon