sabaya akiteta jambo na wafuasi wake baada ya kuachiliwa kwa dhamana |
Sabaya akitoka mahakamani akiwa na wafuasi wake |
Mwenyekiti wa UVCCM Arusha Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Arusha nakusomewa mashtka mawili ikiwa ni kughushi kitambulisho cha usalama wa taifa pili ni kutumia kutapeli.
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo Gwantwa Mwankuga amemuachia mtuhumiwa kwa dhamana ya watu wawili ambao kila mmoja alitakiwa kutoa shilingi milioni 3 na kesi imehairishwa hadi October 5 mwaka huu
EmoticonEmoticon