RAMADHANI CHOMBO AVAA JEZI SIMBA DAY

 
Okwi akipokea tuzo



Mashabiki wakionyeshana kitu


Kapombe akipokea tuzo yake

Kaburu akipokea tuzo ya Mafisango 

Mzee Kilomoni akipokea tuzo yake

Kaburu akimkabidhi tuzo Sarungi

Kaburu akimkabidhi tuzo Kavishe

11 wa kwanza wa Simba msimu huu, waliosimama kutoka kulia Juma Kaseja, Juma Nyosso, Haruna Moshi, Felix Sunzu, Nassor Masoud, Uhuru Suleiman na walioinama kutoka kulia ni Haruna Shamte, Mrisho Ngassa, Amir Maftah, Salim Kinje na Mwinyi Kazimoto 

Benchi la vifaa vitupu; kutoka kulia Amri Kiermba, Danny Mrwanda, Kiggi Makassy, Emanuel Okwi, Kanu Mbivayanga, Ramadhan Redondo, Abdallah Juma, Hamadi Waziri, Paul Ngalema na wengineo.


EmoticonEmoticon