SHOMARI KAPOMBE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2011


Shomari Kapombe akipokea tuzo ya mchezaji bora chipukizi 2011

Beki chipukizi wa kutumainiwa toka katika timu ya mabingwa wa Tanzania Simba SC, Shomari Kapombe jana usiku amefanikiwa kuondoka na tuzo mbili katika tuzo za wanamichezo bora wa mwaka 2011 zinazotolewa na chama cha waandishi wa habari za michezo TASWA.

Kapombe alitwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi na mwanamichezo bora wa mwaka 2011. Utolewaji wa Tuzo hizo zilizo dhaminiwa na SBL kupitia kinywaji cha Serengeti zilifanyika jana katika ukumbi wa Diamond Jubilee na kushuhudia wafuatao wakipokea tuzo:
1. OLIMPIKI MAALUM-Zanzibar: Ahmada Bakar
2. OLIMPIKI MAALUM-TANZANIA BARA: HERITH SULEIMAN
3. PARALIMPIKI-WANAUME: ZAHARANI MWENEMTI
4. PARALIMPIKI-WANAWAKE: FAUDHIA CHAFUMBWE
5. KIKAPU-WANAUME: GEORGE TARIMO
6. KIKAPU WANAWAKE: EVODIA KAZINJA
7. NETIBOLI: LILIAN SYLIDION
8. GOFU WANAWAKE: MADINA IDDI
9. GOFU WANAUME: Frank Roman
10. NGUMI ZA RIDHAA: SULEIMAN SALUM KIDUNDA
12. WAOGELEAJI MWANAMKE: MAGDALENA MOSHI
13. WAOGELEAJI MWANAUME: AMMAAR GHADIYALI
14. JUDO: AZZAN HUSSEIN KHAMIS (ZANZIBAR)
15. JUDO BARA: MBAROUK SELEMANI
16. WAVU WANAWAKE: THERESIA ABWAO
17. WAVU WANAUME: MBWANA ALLY
18. NGUMI ZA KULIPWA: Nasibu Ramadhan
19. TENISI Wanaume: WAZIRI SALUMU
20. TENISI WANAWAKE: REHEMA ATHUMANI
21. BAISKELI (Wanawake): Sophia Hussein
22. BAISKELI WANAUME: Richard Laizer
23. WACHEZAJI WA TANZANIA WANAOCHEZA NJE: Mbwana Samatta
24. MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI: SHOMARI KAPOMBE (soka) SIMBA
25. MCHEZAJI WA NJE ANAYECHEZA TANZANIA: Emmanuel Okwi-Simba
26. SOKA (WANAWAKE): MWANAHAMISI OMARI
27. SOKA WANAUME: Aggrey Morris-Azam
28. RIADHA WANAWAKE: Zakia Mrisho
29. RIADHA WANAUME: Alphonce Felix
30. MIKONO WANAUME: Kazad Monga-Magereza Kiwira, Faraji Shaibu Khamis- Nyuki Zbar
31. MIKONO WANAWAKE: Zakia Seif-Ngome Dar
32. Kriketi WANAWAKE: Miss. Monika Pascal
33. KRIKETI WANAUME: Mr. Kassimu Nassoro
34. TUZO YA HESHIMA: KIKOSI KILICHOFUZU FAINALI ZA MATAIFA YA AFRIKA 1980
35. MWANAMICHEZO BORA WA TANZANIA MWAKA 2011: SHOMARI KAPOMBE 


SHUHUDIA TUZO ZA TASWA ZILIVYOFANA USIKU DIAMOND JUBILEE

Rais wa TFF, Leodegar Tenga wa pili kulia akiwa na Jellah Mtagwa kushoto kwake


Familia ya ndondi


Wadau wa ndondi
Tedi Mapunda kulia na bosi wake 


Eiphraim Mafuru kulia


Maswahiba wa siku nyingi, Shaaban Mkongwe kulia akiwa Waziri Mahadhi


Beki wa Mtibwa Salum Swedi 'Kussi'


Kaburu kulia akikabidhi tuzo


Daud Salum 'Bruce Lee' kulia akikabidhi tuzo


Athumani Hamisi akikabidhi tuzo


Asha Baraka akikabidhi tuzo


Mafuru akikabidhi tuzo


Ridhiwani Kikwete kulia akiwa na Benny Kisaka kushoto, cheko la maana


Dioniz Malinzi kushoto akikabidhi tuzo


Kapombe akipokea tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi kutoka kwa Salim Amir


Mzee Matumla akimkabidhi Kaburu tuzo ya Emmanuel Okwi


Mwenyekiti wa RT, akimkabidhi tuzo Mwanahamisi Gaucho


Aggrey Morris kushoto akipokea tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka 


Ally Choky akikabidhi tuzo


Mafuru akipakia msosi


Kim Poulsen kulia akiwa na nani sijui


Jamal Rwambow kulia na Kaburu wakati wa maakuli


Serengeti Beer inapokolea, mambo huwa hivi...


Mzee El Maamry akimkabidhi tuzo George Tarimo


Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Adolph Rishard


Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Peter Tino


Mzee Mwinyi akikabidhi tuzo


Waziri Mahadhi akimpokelea tuzo marehemu baba yake, Omar Mahadhi


Kaburu akimsaidia Kapombe kupokea tuzo ya Mwanamichezo Bora wa mwaka 2011 


Juma Pinto akikabidhi tuzo


Zena Chande na swahiba zake


Shaffih Dauda kulia, Amour Hassan na Michael Maluwe


Tullo Chambo na bosi wake


EmoticonEmoticon