Jambazi mmoja aliefahamika kwa jina la Ramathan
Abudallah alimaarufu kwa jina la
Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa
Moivo ameuwawa baada ya kupigwa
risasi katika majibizano na askari wa
jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha
Liberatus Sabas Alisema kuwa tukio hilo limetokea October 10 mwaka huu majira ya saa nane na dakika nne
usiku katika kijiji cha
Moivo kilichopo ndani ya
kitongoji cha Enaboishu wilayani
Arumeru.
Alisema kuwa marehemu
Ramadhan Abdallh aliuwa
anatafutwa kwa muda mrefu na jeshi la polisi kwa kuhusika na matukio mbalimbali
ya uhalifu ambayo yameshawahi kutokea ndani ya
mkoa huu pamoja na katika maeneo mbalimbali ya nchi hiii.
picha
ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia
mwili wa jambazi huyo atari aliowawa na polisi usiku wa kuamkia leo
mwili wa Jambazi hilo ukiwa umelazwa ndani ya gari la polisi mara baada ya kuwawa tayari kwa ajili ya kupelekwa mochwari
wananchi wakiendelea kushuhudia mwili wa jambazi hilo nje ya jengo la makao makuu ya polisi mkoani Arusha
baadhi ya vitu vilivyokutwa kwa jambazi hilo zikiwemo silaha mbalimbali
kamanda wa polisi akionyesha moja ya kifaa cha kufanyia tageti kabla ya kupiga kijulikanacho kwa jina la Glock Fab Defence moja ambacho jambazi hilo lilikuwa likitumia
EmoticonEmoticon