JD's Entertainment
inakwambia kama una mume au mke na unampenda sana, kama una girlfriend
au boyfriend na mnapendana kweli na kama uko na rafiki na uko tayari kwa
chochote juu yake na atakama uko single lakini moyo wako umejaa mapenzi
lakini hujui wapi pakuyapeleka,basi karibu sana isumba lounge (jollies
club).
Wapendanao watazungumza,hadithi na safari za maisha yetu ya
kimapenzi zitasikika,ni valentine hii ya tarehe 14/02/2014 pale pale
isumba lounge zamani jollies.
Kiingilio ni 10000, karibu tusherehekee
mapenzi kwani LOVE IS GONNA BE IN THE AIR.
EmoticonEmoticon