Anafahamika
km Amedeus aka K doo ni msanii mpya kutoka kundi la Watengwa hapa
anakuja na kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la USIBONGE akiwa
amemshirikisha Chaba kutoka Watengwa pia,ni mkono wake John B kutoka
studio za GrandMaster records pande za Arusha,K doo anahitaji sana
sapoti yako wewe mdau na mpenzi wa HIP HOP Tz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon