MKUU WA MKOA ARUSHA,MAGESA MULONGO AKABIDHI PIKIPIKI




Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Magesa Stanslaus Mulongo akipokea heshima toka kwa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia cha mkoa wa Arusha ambao waliandaa gwaride kwa ajili ya hafla ya makabidhiano ya pikipiki kwa askari Polisi wa Tarafa waliopo katika wilaya mbalimbali za Mkoa huu.
Nyuma yake kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Liberatus sabas na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia wizi wa Mifugo (STPU) Tanzania Bara Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahimu Kilongo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Magesa Stanslaus Mulongo akipokea heshima toka kwa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia cha mkoa wa Arusha ambao waliandaa gwaride kwa ajili ya hafla ya makabidhiano ya pikipiki kwa askari Polisi wa Tarafa waliopo katika wilaya mbalimbali za Mkoa huu. Nyuma yake kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Liberatus sabas na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia wizi wa Mifugo (STPU) Tanzania Bara Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahimu Kilongo (Na Rashid Nchimbi, Mwandishi)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Magesa Stanslaus Mulongo akikagua gwaride lililoandaliwa rasmi katika hafla ya makabidhiano ya pikipiki kwa Wakaguzi wa polisi wa Tarafa kutoka wilaya mbalimbali za Mkoa wa Arusha.
Hafla hiyo imefanyika leo katika kiwanja cha michezo kilichopo kwenye moja ya kambi za jeshi hilo jijini hapa.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Magesa Stanslaus Mulongo akikagua gwaride lililoandaliwa rasmi katika hafla ya makabidhiano ya pikipiki kwa Wakaguzi wa polisi wa Tarafa  kutoka wilaya mbalimbali za Mkoa wa Arusha. Hafla hiyo imefanyika leo katika kiwanja cha michezo kilichopo kwenye moja ya kambi za jeshi hilo jijini hapa(Picha na Rashid Nchimbi, Mwandishi wa kujitegemea)


EmoticonEmoticon